Staa wa ngoma ya MWANA na KIMASO MASO unaweza kumuita ALI KIBA, wiki hii alitupia baadhi ya picha zake kiwa AFRIKA ya KUSINI kipiga Video ya wimbo ambao hakuutaja.
Wadau na mashabiki wa ALI KIBA kaeni tayari kukamata mzigo huo unaoandaliwa kule CAPE TOWN AFRIKA YA KUSINI........