Msanii Khalid Chokoraa ambaye pia ni bondia wa kulipwa anakuletea track yake mpya Maneno amabapo amemshirikisha mzee wa Kigodoro a.k.a Msaga Sumu. Hii ni colabo ambayo siyo ya kawaida lakini matokeo yake yamekuwa ni mazuri kupindukia. Download wimbo mpya sasa.